Posted by GLOBAL on February 18, 2012 at 3:03pm
0 Comments
0 Likes
Mabondia
wa Uzito wa juu, Obadia Mwangi kutoka Kenya (kushoto) na Alphpnce
Mchumiatumbo wa Tanzania, wakitunishiana misuri baada ya kupima uzito,
Dar es salaam mabondia hawo watapambana kesho katika ukumbi wa Frensi
Kona Manzese katikati ni Mratibu wa pambano hilo Huseni Omari.
Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
0 comments:
Post a Comment