Friday, February 24, 2012


MVUA INAYOENDELEA KUNYESHA HIVI SASA JIJINI MBEYA YAHARIBU MIUNDOMBINU YA SOKO DOGO LA MWAMBENE

Hii ndio hali halisi ya soko la mwambene jijini mbeya mvua bado inaendelea kunyesha


Nyumba za jirani na soko hilo la mwambene zikiwa zimezungukwa na maji ya mvua inayoendelea kunyesha

Maji ya mvua yana pita katikati ya barabara ya kuelekea sokoni hapo


Mifereji ya kupitisha maji hayo ya mvua hakuna kabisa

0 comments:

Post a Comment

Mr.Mputa

You are welcome in this blog you ca get us through..
Mobile+255717962720
+255767962720
Njombe Iringa Tanzania

TANGAZO

Karibuni katika Blog ya Jiliwaze hapa utapata mambo mbali mbali yakufunza na kuonya na kama unahitaji kutengenezewa email,facebook ac,page ama blog wasiliana nasi kupitia.. Phone:0717962720/0767962720 Email:mputae@yahoo.com :mputae@rocketmail.com

Popular Posts