Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwakaribisha ikulu jijini Dar es salaam
viongozi wa Chama cha madaktari nchini. Wa pili kushoto ni Mratibu wa
mgomo wa madaktari, Stephen Ulimboka na Kulia ni Rais wa Chama cha
Madaktari Tanzania (MAT), Dk. Namala Mkopi
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwakatika mazungumzo na…
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwakaribisha ikulu jijini Dar es salaam
viongozi wa Chama cha madaktari nchini. Wa pili kushoto ni Mratibu wa
mgomo wa madaktari, Stephen Ulimboka na Kulia ni Rais wa Chama cha
Madaktari Tanzania (MAT), Dk. Namala Mkopi
Rais
Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwakatika mazungumzo na viongozi wa Chama
Cha Madaktari nchini(MAT) ikulu jijini Dar esSalaam leo mchana.Picha na
Freddy Maro-IKULU
Chanzo na Globalpublishers
0 comments:
Post a Comment