Thursday, February 23, 2012


Malkia wa mipasho Bongo, Khadija Omar Kopa, akitumbuiza kwenye uzinduzi huo.
Baadhi ya waimbaji wa TOT Taarab wakiwa katika viti tayari kwa kutimiza jukumi lao.
Kiongozi wa Mashauzi Clasic Band Isha Ramadhani, akitumbuiza.
Waimbaji wa mashauzi Clasic Band wakiwa kazini.
Wacheza Kiduku wa Mashauzi Clasic Band wakikamua.
Baadhi ya mashabiki waliohudhulia katika uzinduzi huo wakiselebuka kwa raha zao.
BENDI za muziki wa mwambao Bongo, Tanzania One Theater Taarab ‘TOT TAARAB’ na Mashauzi Classic Band, usiku wa kuamkia leo kwa pamoja zimezindua tamasha la Usiku wa Taarab ndani ya ukumbi wa Dar Live. Mbagala-Zakhem jijini Dar es Salaam.  Tamasha hilo litakuwa likifanyika ukumbini hapo kila Jumatano.
Habari/ Picha: Musa Mateja/GPL

0 comments:

Post a Comment

Mr.Mputa

You are welcome in this blog you ca get us through..
Mobile+255717962720
+255767962720
Njombe Iringa Tanzania

TANGAZO

Karibuni katika Blog ya Jiliwaze hapa utapata mambo mbali mbali yakufunza na kuonya na kama unahitaji kutengenezewa email,facebook ac,page ama blog wasiliana nasi kupitia.. Phone:0717962720/0767962720 Email:mputae@yahoo.com :mputae@rocketmail.com

Popular Posts