IRINGA
Mwanamke
ambae bado hajafahamika jina wala anakoishi katika mkoa wa
Iringa akiwa hoi baada ya kujichoma kisu shingoni mwenyewe kwa kile
kinachodaiwa kuwa ni baada ya mwenyeji wake kumkimbia na
kujificha chooni kukwepa kuuwawa na mwanamke huyo asubuhi ya leo
eneo la Frelimo mjini Iringa(picha zinatisha sana naomba radhi kwa
usumbufu )
Hapa akikimbizwa hospitali ya mkoa na askari polisi waliofika kunusuru maisha yake
Chanzo: francisgodwin.blogspot.com
0 comments:
Post a Comment