Posted by GLOBAL on February 18, 2012 at 7:00am
3 Comments
0 Likes

Sifael Paul na Mtandao
Wakati leo mwili wake ukitarajiwa kuhifadhiwa katika nyumba ya milele huko Newark New Jersey, Marekani, imethibitika kuwa, saa 24 kabla ya kukutwa na mauti, mwanamuziki Whitney Elizabeth Houston, alipigana, Risasi Jumamosi limeinyaka.


Sifael Paul na Mtandao
Wakati leo mwili wake ukitarajiwa kuhifadhiwa katika nyumba ya milele huko Newark New Jersey, Marekani, imethibitika kuwa, saa 24 kabla ya kukutwa na mauti, mwanamuziki Whitney Elizabeth Houston, alipigana, Risasi Jumamosi limeinyaka.


Katika purukushani hiyo, mguu wa kushoto wa Whitney ulionekana ukichuruzika damu ambapo aliongozwa na walinzi wake akapanda kwenye gari lake na kutimka eneo hilo.

Ilielezwa kuwa katika mwaliko huo wa mazishi, aliyekuwa mume wa Whitney kati ya mwaka 1992 hadi 2007, Bobby Brown hakualikwa huku mwenyewe akitaka kumuona mwanaye waliyezaa pamoja, Bobbi Kristina.
0 comments:
Post a Comment