Sunday, February 19, 2012


Posted by GLOBAL on February 19, 2012 at 9:30am 1 Comment
Kikosi cha Yanga.  Zamalek.
Uwanja mzima ulisimama kwa dakika mbili kabla kabla ya mchezo kuomboleza mashabiki waliofariki katika uwanja mmoja wa soka nchini Misri. …
Kikosi cha Yanga.  Zamalek.
Uwanja mzima ulisimama kwa dakika mbili kabla kabla ya mchezo kuomboleza mashabiki waliofariki katika uwanja mmoja wa soka nchini Misri. 
Sehemu ya mashabiki.
Mshambuliaji wa Yanga, Kenneth Asamoah, akijishika baada ya kubabuliwa na mpira.
Mchezaji wa Yanga, Juma Seif , akimgaragaza beki wa Zamalek.
Mshambuliaji wa Yanga, Hamis Kiiza, akiwatoka Waarabu.

Mashabiki wa Simba wakiishangilia Zamalek.

Hamis Kiiza akishangilia baada ya bao.
Shabiki wa Simba akivuja damu baada ya kupigwa kichwa cha mdomo aliposhangilia goli la Zamalek.
Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Juma Nature akitumbuiza wakati wa mapumziko.
MABINGWA wa Tanzania Bara, Yanga jana walimenyana na mabingwa wa Misri, Zamalek, Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam ambapo matokeo yalikuwa bao 1-1. Pichani juu ni sehemu ya mtanange huo.
PICHA : RICHARD BUKOS / GPL 

0 comments:

Post a Comment

Mr.Mputa

You are welcome in this blog you ca get us through..
Mobile+255717962720
+255767962720
Njombe Iringa Tanzania

TANGAZO

Karibuni katika Blog ya Jiliwaze hapa utapata mambo mbali mbali yakufunza na kuonya na kama unahitaji kutengenezewa email,facebook ac,page ama blog wasiliana nasi kupitia.. Phone:0717962720/0767962720 Email:mputae@yahoo.com :mputae@rocketmail.com

Popular Posts