Saturday, April 7, 2012


Wasanii wakiomboleza.
Ni simanzi tupu kutoka kwa wasanii.
Irene Paul akilia kwa uchungu
Mashabiki wakipiga kelele huku wakitaka kuelezwa chanzo cha kifo cha Kanumba…
Wasanii wakiomboleza.
Ni simanzi tupu kutoka kwa wasanii.
Irene Paul akilia kwa uchungu
Mashabiki wakipiga kelele huku wakitaka kuelezwa chanzo cha kifo cha Kanumba
Baadhi ya waombolezaji wakiamisha vifaa kwa ajili ya kupata nafasi ya kukaa.
Mkurugenzi wa Global Publishers, Eric Shigongo (kushoto) akiwa na wadau.
Ilikuwa ni vilio, simanzi isiyo na kifani kuanzia saa 6 usiku wa kuamkia leo kutoka kwa wasanii na wadau mbalimbali waliokwenda kushuhudia msiba wa msanii mkongwe wa filamu, Steven Kanumba katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili dakika chache baada ya mwili huo kufikishwa hospitalini hapo kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi.

0 comments:

Post a Comment

Mr.Mputa

You are welcome in this blog you ca get us through..
Mobile+255717962720
+255767962720
Njombe Iringa Tanzania

TANGAZO

Karibuni katika Blog ya Jiliwaze hapa utapata mambo mbali mbali yakufunza na kuonya na kama unahitaji kutengenezewa email,facebook ac,page ama blog wasiliana nasi kupitia.. Phone:0717962720/0767962720 Email:mputae@yahoo.com :mputae@rocketmail.com

Popular Posts