Makambako
Mnamo majira ya saa tatu hivi gari moja yawaka moto,chanzo bado hakijatambulika bado.
Jitihada za kuuzima moto huo ziliishia patupu maaana vifaa vilivyokua vikitumika ni mikono kwa ajili ya kuzoa mchanga na kuzimia moto huo
Hakuna kilichookolewa labda funguo tu ya gari
Thursday, June 7, 2012
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment