Friday, April 12, 2013
- 1:43:00 PM
- Unknown
- No comments
wwwmputa-jiliwaze.blogspot.comUkijijua huna malengo na mtu mwambie tu ukweli ajue anakaa style gani
kwenye mapenzi, ukiahidi mtu wewe ndo wangu wa kufa na kuzikana (ndoa)
anakaa kama tungunya anakunja na nne kwenye sofa, kumbe unampotezea muda
tu, anapata watu wa maana wanakuja na vyeti vyao mikononi anawatoa
nduki na maneno mdomoni yanamtoka akijua daktari wake yupo, kumbe mtu
mwenyewe hata muhimbili hujaenda umedanganya wewe dokta, ghafla tumbo
lamsokota ndo unamwambia wewe sio dokta....!!!Kama ni mtu wa kupass time
mwambie ili akae kama yuko kwenye stuli ya counter baa, muda wowote
akipata daktari anaruka nae...!! acheni kuwapotezea watu muda kama huna
future nae mwambie tu kwamba wewe ni mwamvuli thamani yako masika
yakija, jua likiwaka jikatae.....Au sio jamani?mmekalisha watu kwenye
sofa wanajua wamefika kumbe wako on Transit (gari zinaplate namba za IT)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment