Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akitembelea shamba la mahindi la Waziri Mkuu Mizengo Pinda, lililopo
Kijiji cha Vilolo wakati akiwa katika ziara yake ya mkoa wa Katavi na
Rukwa leo Februari 20, 2012.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akitembelea shamba ufugaji wa Nyuki wa kisasa la Waziri Mkuu Mizengo
Pinda, lililopo Kijiji cha Vilolo wakati akiwa katika ziara yake ya mkoa
wa Katavi na Rukwa leo Februari 20, 2012. Picha na Muhidin Sufiani-OMR
Dkt. Bilal Akutana Na Baba Na Mama Wa Mtoto Wa Mkulima Katavi
Mke
wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed
Gharib Bilal, Mama Asha Bilal,akisalimiana na Mama mzazi wa Waziri Mkuu,
Mizengo Pinda, Albetina Kasanga, wakati wakiwa katika ziara ya Mkoa wa
Katavi leo Februari 20, 2012. Picha na Muhidin Sufiani-OMR
0 comments:
Post a Comment