Mkuu
wa Gereza la Njombe, Fortunatus Ntani (kushoto) akitazama baadhi ya
nakala za magazeti aliyokabidhiwa kwa ajili ya kuwapa wafungwa kutoka
kwa Mwenyekiti Mtendaji wa Jumuiko la Wanahabari Tanzania (TAJOA),
Simon Mkina. TAJOA imeanzisha programu ya kuwahabarisha wafungwa
(HakiHabari) na imeanzia Njombe wakati mkakati ni kuwafikia wafungwa
weng zaidi nchini.
Mwenyekiti
Mtendaji TAJOA, Simon Mkina, akiwaeleza kitu maofisa wa magereza Njombe
baada ya kukabidhi magazeti kwa ajili ya wafungwa kujisomea. TAJOA
hutoa habari bure.
Mwenyekiti
Mtendaji TAJOA, Simon Mkina,na Makamu Mwenyekiti Fredy Kihwele, wakiwa
na maofisa wa magereza Njombe baada ya kukabidhi magazeti kwa ajili ya
wafungwa kujisomea. TAJOA hutoa habari bure.
0 comments:
Post a Comment