Tuesday, September 3, 2013

VIGEZO 15 AVIPENDAVYO MWANAMKE YEYOTE KUTOKA KWA MPENZI WAKE,soma hapa kuvifahamu na kuwa chaguo bora kwao...




Pengine watu wengi wamekuwa wakitafuta ni jinsi  gani wanaweza kupendwa na wasichana au wanawake. Niwazi kabisa kila mwanamke anachaguo lake kwa mwanaume ampendae.Huenda ukawa unavigezo kibao lakini akapenda mweyevigezo vichache. Vifuatavyo ni vigezo 15 ambavyo wasichana wengi hupenda kutoka

kwa mwanaume.
1. Kujiamini

2. Mcheshi

3. Mwenye utashi

4. Anayetoa msaada unapohitajika

5. Anaetunza siri

6. Mwenye kujithamini

7. Mwenye malengo / makini  8. Mwenye mawazo mapana  9. Muwazi na mkweli  
10. Anayeridhika        11. Aliyeshupavu na jasiri


 12. Mwenye huruma 


13. Anaesamehe 

14. Hadhi na heshima 

 15. Hisia ya uadilifu

0 comments:

Post a Comment

Mr.Mputa

You are welcome in this blog you ca get us through..
Mobile+255717962720
+255767962720
Njombe Iringa Tanzania

TANGAZO

Karibuni katika Blog ya Jiliwaze hapa utapata mambo mbali mbali yakufunza na kuonya na kama unahitaji kutengenezewa email,facebook ac,page ama blog wasiliana nasi kupitia.. Phone:0717962720/0767962720 Email:mputae@yahoo.com :mputae@rocketmail.com

Popular Posts